Friday, September 14, 2012

FAHAMU MAMBO 10 KUHUSU AGNESS MASOGANGE



1: Umewahi kukaa kwa muda gani bila kuoga ?
Hahahahha duu! hii kali, nakumbuka when I was 15 niliwahi kukaa siku mbili maji hayayajui mwili wangu, usiniambie wewe hujawahi kufanya hivi.
2: Between Obama and Kikwete is hotter?
Wewe My president is hottest prezzo in the world. JK is the one.
3: The best part of your body is………….
My figure, namshukuru sana mungu kwa kuniumba hivi.
4: Kitu gani ambacho unahisi cha kijinga ulishawahi kufanya kwa sababu ya mapenzi?
Nakukumbuka kuna siku nililia mbele ya umati wa watu in the club baada ya mpenzi wangu kunizingua.
5: One night with Bongo celebrity – who’s the lucky guy?
My man DJ Choka coz Hugo ni mtu ambaye kila nikikutana nae huwa hanikwazi, muda ananifurahisha tu.
6: Ni umbea gani umeshawahi kuusikia kuhusu na ukakuudhi sana?
Kuna gazeti moja la udaku liliwahi kuandika kwamba ninatumia dawa za kichina kutengeneza shepu yangu, hilo suala liliniudhi coz halikuwa na ukweli wowote na watu wanaonifahamu tangu nikiwa mdogo ni mashahidi.
7: The last man you met last night, who’s he?
Ofcourse ni my baby – ndio mwanaume mwisho kuiona sura yangu jana usiku.
8: Celebrity wa kike wa Bongo ambaye anayekufanya utamani kuwa mwanaume?
Hahahahaha hii noma! I think Wema Sepetu is very beautiful, she can drive crazy any man.
9: What turns you on in a man?
Jamani mie mdhaifu kwa mwanaume anayenukia vizuri.
10: Kati ya Diamond Platnumz na Gelly wa Rhymes nani unafikiri anajua sana mapenzi?
Duu nyiee! anyway kwa upande wangu I think Gelly knows how to handle a woman

0 comments:

Post a Comment